HABARI MPYA

6/recent/ticker-posts

Ajali Lusanga Muhez: Watu 4 Wafariki Dunia, 15 Wajeruhiwa

Watu 4 wamefariki na 15 kujeruhiwa baada ya basi dogo kugonga lori katika Kijiji cha Lusanga Muheza. Majeruhi wapo Hospitali Teule ya Muheza. Bado tunafatilia Habari kwa kina



Post a Comment

0 Comments