HABARI MPYA

6/recent/ticker-posts

JESHI LA POLISI KUIMARISHA UTENDAJI KAZI WAKE ILI KUJENGA IMANI KWA WANA...

Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi Tanzania Awadh Juma Haji amewataka Askari kuendelea kudumisha nidhamu wanapokua katika majukumu yao ya kila siku.

Ameyasema hayo huko katika chuo cha Polisi Ziwani alipokua akiongea na Askari wanao shiriki mafunzo ya uongozi mdogo ngazi ya sajenti alipokua akifungua mafunzo maalum yanayohusu kukabiliana na uhalifu unaovuka mipaka na itakadi na misimamo mikali.

Pia amesema Jeshi la Polisi limejipanga kuhakikisha linawejengea uwezo Askari wake katika kukubiliana na uhalifu na wahalifu na wataendelea kushirikiana na jamii  ili kuhakikisha Tanzania inaendelea kua na Amani na utulivu.

Post a Comment

0 Comments