HABARI MPYA

6/recent/ticker-posts

MADEREVA WALIOFUNGA TAA KALI KWENYE BAJAJI WANASWA

Kamanda  wa Polisi mkoa wa  Njombe, Kamishna Msaidizi wa Polisi, ACP  Mahamoud Banga amewaonya madereva  Bajaji mkoani humo kuondoa mara moja taa  kali ambazo zimefungwa kwenye vyombo vyao kwani taa hizo zimekuwa  zikisababisha usumbufu kwa watumiaji wengine wa barabara ikiwemo ajali.
TAZAMA VIDEO: VIDEO LINK

Ametoa agizo hilo wakati akizungumza na madereva hao kufuatia oparesheni ya kukamata vyombo vinavyofanya shughuli bila kuzingatia sheria za usalama barabarani ikiwemo ufungaji wa taa kali, namba za usajili, bima na leseni kwa madereva hao.

Post a Comment

0 Comments